imekuwa labda ni jambo ambalo hufasiriwa vibaya katika jamii zetu... pindi linapokuja swala la kwamba ni nani anakuwa na jukumu... la kupangilia mambo ya familia husika kati ya mwanaume na... mwanamke, je, ni nani hasa ana jukumu hilo? ...
swali mwenyezi mungu anasema مَنْ عَمِلَ صَالِحًا مِّن ذَکَرٍ أَوْ... کَانُوا یَعْمَلُونَ "mwenye kutenda mema, mwanamume au mwanamke, naye akawa... ni muumini, tutamhuisha maisha mema na tutawapa ujira wao kwa... bora ya waliyo kuwa wakiyatenda” nahl 97 mungu, ameelekeza maamuzi...
News ID: 15 Publish Date: 2017/02/13